Gundua Vitabu Vitakatifu

Series 1
Somo la 1: Uumbaji: Mwenyezi Mungu anauumba ulimwengu
(Surat Mwanzo 1:1-25)
Somo la 2: Uumbaji: Mwenyezi Mungu anawaumba wanadamu
(Surat Mwanzo 2:4-9; 15-24)
Somo la 3: Anguko la wanadamu: Dhambi ya kwanza na adhabu yake
(Surat Mwanzo 3:1-24)
Somo la 4: Anguko la wanadamu: Nuhu na Gharika Kuu
(Surat Mwanzo 6:5-22; 7:1,10-11,17-20,23-24; 8:1,13,15-17,20-22; 9:1-17)
Somo la 5: Ukombozi: Ahadi ya Mwenyezi Mungu kwa Ibrahimu
(Surat Mwanzo 12:1-8; 15:1-6)
Somo la 6: Ukombozi: Ibrahimu anamtoa sadaka mwanawe
(Surat Mwanzo 22:1-19)
Somo la 7: Ukombozi: Miujiza ya Pasaka – Kuokolewa kwenye kifo kutokana na damu ya mwana-kondoo
(Surat Kutoka 6:6-8; 12:1-3, 5-8, 11-14, 22-31)
Somo la 8: Ukombozi: Amri kumi za Mwenyezi Mungu
(Surat Kutoka 20:1-21)
Somo la 9: Ukombozi: Sheria kuhusu sadaka ya dhambi
(Surat Malawi 4:1-2,13-31)
Somo la 10: Ibada: Mwenyezi Mungu ni mchungaji wetu
(Surat Zaburi 23:1-6)
Somo la 11: Unabii: Kuhusu mtumishi atakayejeruhiwa
(Surat Isaya 53:1-12)
Somo la 12: Ukombozi: Miujiza ya kuzaliwa kwa Isa Al-Masihi
(Surat Luka 1:26-38; 2:1-20)
Somo la 13: Ukombozi: Ushuhuda wa Yahya kuhusu Isa Al-Masihi
(Surat Mathayo 3, Yohana 1:29-34)
Somo la 14: Ukombozi: Isa Al-Masihi anajaribiwa na shetani
(Surat Mathayo 4:1-11)
Somo la 15: Ukombozi: Isa Al-Masihi anaituliza dhoruba
(Surat Marko 4:35-41)
Somo la 16: Ukombozi: Isa Al-Masihi amponya mtu mwenye pepo
(Surat Marko 5:1-20)
Somo la 17: Ukombozi: Isa Al-Masihi analisha watu elfu tano
(Surat Yohana 6:1-37)
Somo la 18: Ukombozi: Isa Al-Masihi amponya mgonjwa na kumsamehe dhambi yake
(Surat Luka 5:17-26)
Somo la 19: Ukombozi: Isa azungumza na mwanamke msamaria
(Surat Yohana 4:1-26, 39-42)
Somo la 20: Ukombozi: Isa Al-Masihi anafundisha kuhusu ufalme wa Mungu kwa mifano
(Surat Luka 10:25-37; 15:11-32)
Somo la 21: Ukombozi: Isa Al-Masihi anafundisha jinsi ya kusali
(Surat Luka 18:9-14, Yohana 16:24)
Somo la 22: Ukombozi: Isa Al-Masihi anafundisha kuhusu kusaidia maskini, kuhusu maombi, na kufunga
(Surat Mathayo 6:1-34)
Somo la 23: Ukombozi: Isa Al-Masihi anawafufua wafu
(Surat Yohana 11:1-44)
Somo la 24: Ukombozi: Isa Al-Masihi anafundisha jinsi ya kuwa mnyenyekevu
(Surat Mathayo 20:20-28)
Somo la 25: Ukombozi: Chakula cha mwisho cha Isa na wanafunzi wake na utabiri wa kifo chake
(Surat Luka 18:31-34, Mathayo 26:26-30)
Somo la 26: Ukombozi: Isa Al-Masihi anasalitiwa na kuhukumiwa
(Surat Yohana 18:1-14; 19-24, 28-40; 20:1-16)
Somo la 27: Ukombozi: Isa Al-Masihi anatoa maisha yake msalabani
(Surat Luka 23:32-56)
Somo la 28: Ukombozi: Isa Al-Masihi afufuka
(Surat Luka 24:1-35)
Somo la 29: Ukombozi: Isa Al-Masihi anajidhihirisha kwa wanafunzi wake baada ya kufufuka na kwenda peponi
(Surat Luka 24:36-53)
Somo la 30: Muhtasari: Ungependa kuifuata njia ya Mwenyezi Mungu?
(Surat Matendo ya Mitume 10:1-43, Yohana 3:16-21, Mathayo 7:13-14)


Get it on Google Play
Download on the App Store

Get Discovery Bible Studies on your phone

Discover copyright ©2015-2025 discoverapp.org

Swahili verses from the Kiswahili Contemporary Scriptures (Neno: Maandiko Matakatifu). Copyright © 2018 by Biblica, Inc.® All Rights Reserved Worldwide.